Heeheeeeee! The illest mzee
Aaaaah!
Puuuuuuuuuuuuuunit!
Musyoka
kama-k.
FRASHA [verse one]
Yeah[aah] mi
huweka weka weka pesa kwenye banki.
Kisha na
cheka utadhani na vuta bangi
Bana nko
maji utathani me ni tangi
Macho nyekundu
imegeuza karangi
Unanijua ujinga
me sitakangi, Unanijua tracki me huwa naua
Me ni kammea
utadhani me mau
[Ahh] jina
kubwa nathani unanijua.
So kikundi
serekali basi nani ana swali
Yani ngoma
ingine kali yani tamu kama asali
So me huweka
watoto me naweka
niko tribeka
niko niko gage tu nawaka
nataka
kuteka kisha niingie keja tu kuweka weka weka weka tena sana
najifanya
nimedoze kumbe naongezaga dose
asubuhi
ikifika narudi tu pale pale
Chorus
BUGANYA [Verse two]
Buganya mi
ni beshte ya kalonje
Nina mapesa
nimeweka kwenye wolenje
Kuna msupa
amepoteza ma kibenje
Nina kitu
kwenye boxer kakonje
Kuna kale
kabaruta pia kakoinje
Unakawekaga sana
hivyo ndio huwaga na fanya
Mi huwaga na
wakusanya waniitaga buganya
Nabadilika ka
chameleoni tubonge nasema tubonge
Acha nigonge
Wanasema ninaboo
wanasema sina doo
Cheki after
every show nawakopeshaga doh
Na mafans
wanasema bugah umeuwa show
Hawa mafala
hakuna kitu wanaweza kanishow
Niko fiti
joh niko fiti kidoh
Wanacheza ligi
ndogo mi na cheza ligi soh
Mi na penda
zile vitu bigi tena bigi-soh SO!
Chorus
Bon-I [verse three]
Ni yule
kijana mbaya Zaidi mistari gaidi
Nararua hizi
trucks mbaya Zaidi
Ukipenda ukipenda
majina Zaidi African Doctor, yule headmaster Mi weka Zaidi
nina weka
weka yani ile wega wega
Nikisonga mbele
bado wana bweka bweka
Bon-I weka
akibend weka
Akijyeka kama
kawa nina fyeka fyeka
Nina piga
piga hadi inatetemeka
Ikitetemeka basi
me na tetemesha
Tuna weka
weka eeeihh! Hakuna pressure
Me naweka
weka yani naongeza mbesha
Ni itagededure
mtoto shebure
Ukitakaga kucheza
mi na cheza sefure
Steady ready
gently everyday
Chorus
No comments:
Post a Comment